Songtext zu 'Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny)' von Diamond Platnumz

Möchtest du den Text von Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny) von Diamond Platnumz kennen? Du bist am richtigen Ort.

Wenn du lange nach dem Text des Liedes Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny) von Diamond Platnumz gesucht hast, fang an, deine Stimme aufzuwärmen, denn du wirst nicht aufhören können, es zu singen.

Oooh! Hizo ni zama za kale
Oooh! Sangulo na pepe kale
Zilipendwa

Eh! Kizamani, kutoa card na maua (zilipendwa)
Wanataka money ukilipa unakwarua (zilipendwa)
Ufundi kitandani, sio maguvu kujikamua (zilipendwa)
Unafika ndani, hujatomasa unachanua (zilipendwa)
Wanawake wa leo wanataka mikakati

Ukiwa mzugaji haki ya mungu huwapati (zilipendwa)
Mapenzi ya video yatakutoa kamasi
Eti nikinywa maji nakuona kwenye glass (zilipendwa)
Eeh! Kupiga chabo getto (zilipendwa)
Mkono na dettol (zilipendwa)
Sunche na kapeto (zilipendwa)
Majay na Mobeto (zilipendwa)
Oooh! Hizo ni zama za kale
Oooh! Sangulo na Pepe kale

Mmm bolingo ndombolo (zilipendwa)
Twanga chipolopolo (zilipendwa)
Na maji ya kandoro (zilipendwa)
Simba wa Morogoro (zilipendwa)
Tani sipati sukari guru kabisa (zilipendwa)
Hivi yuko wapi Mb Dogg wa Latifa (zilipendwa)
Babu Tale wapi papa misifa (zilipendwa)
Siku hizi party hatuendagi Ibiza (zilipendwa)
Mpira na Pele (zilipendwa)
Tanu na Nyerere (zilipendwa)
Asha Ngedere (zilipendwa)
Arusi mabele (zilipendwa)
Eti Uuze nyumba uweke heshima bar
Eti Ulazimishe aliyekukataa

Sabuni Kicherema (zilipendwa)
Mabanda ya Cinema (zilipendwa)
Lipumba na lema (zilipendwa)
Diamond na Wema (zilipendwa)
Ooh hizo ni zama za kale (zama za zamani)
Ooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)
Mmm... Na sogi dogg (zilipendwa)
Chanel analogy (zilipendwa)
Movie za saibogy (zilipendwa)
Van Dame, Anod (zilipendwa)
Una nibeep nikupigie umeiweka vocha (haloo)
Ule wewe nilipe mie umeniona Lofa
Tena na madada wenye majina acheni visa
Unaitwa ukale diner mnakwenda Tisa

Nywele za kichina (zilipendwa)
Pochi za kuazima (zilipendwa)
Zena na betina (zilipendwa)
Bashite gwajima (zilipendwa)
Ooh hizo ni zama za kale (zama za zamani)
Ooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)
Mmm Amitabh Bachchan (zilipendwa)
TV kwa jirani (zilipendwa)
Madee Rayvany (zilipendwa)
Zari Ivan (zilipendwa)
Yanini kunichunguza naish wapi (zilipendwa)
Nala, chapati kwa maini au makange (zilipendwa)
Kutwa kunikalia chini unakamati
Oh ya Rabi masikini kuni dhihaki
Ah sampamba pangala (zilipendwa)
P Funk Kajala (zilipendwa)
Onyango na Jangala (zilipendwa)
Rufufu mkandala (zilipendwa)
Vya nini vidomo domo tutupiane tunguli
Kisa pesa za mkopo msimu wa Magufuli
Ah, Bongoman yondo (zilipendwa)
Sikinde Msondo (zilipendwa)
Magari ya Udongo (zilipendwa)
Babu wa Loliondo (zilipendwa)
Ooh hizo ni zama za kale (zilivumaga sana)
Ooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)

Ah TV za kichogo (zilipendwa)
Wakina Man Dojo (zilipendwa)
Na Iyobo (zilipendwa)
Akina Hatupogo (zilipendwa)
Eti msiba ukiona Bundi unataka kupagawa
Tulale makundi makundi kuogopa popo bawa
Zuwena nitampata wapi (zilipendwa)
Zuwena wa zile nyakati eh (zilipendwa)
Kujifanya mapanga sunna wamepinda
Wengine wabeba vyuma na hakuna marinda

Iddi Amini dada (zilipendwa)
Miuno ya H Baba (zilipendwa)
Domo Chai Jabba (zilipendwa)
Michezo ya kibaba baba (zilipendwa)
Wale wapiga deal sasa hali mbaya (zilipendwa)
Hizi zama za Magufuli si za Jakaya (zilipendwa)
Ugomvi wa Mr. Nice na Dudu Baya (zilipendwa)
Vikatuni vya madenge baba ubaya (zilipendwa)
Muhogo mchungu mr. Bean, wapi bambo (zilipendwa)
Wale wazamiaji wale wa melini wazee wang'ambo
Hivi yuko wapi Banjamini wa Mambo Jambo
Wa Vietnam waporini vita na Rambo

Eh ndanda Mjela jela (zilipendwa)
Kidali Kombolela (zilipendwa)
Max na Zembwela (zilipendwa)
Juma Nature na fela (zilipendwa)
Ooh hizo ni zama za kale (zama za zamani)
Ooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)
Mmm kamanda Daz Nunda (zilipendwa)
Kalumanzila Ndumba (zilipendwa)
Simu za Dole gumba (zilipendwa)
Johari na Kanumba (zilipendwa)

Wasafii
Zilipendwa, zilipendwa
Zilipendwa, zilipendwa
Ohlilelelileeee
Zilipendwa

Es gibt viele Gründe, den Text von Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny) von Diamond Platnumz kennenlernen zu wollen.

Zu wissen, was der Text von Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny) sagt, ermöglicht es uns, mehr Gefühl in die Performance zu legen.

Fühl dich wie ein Star, wenn du das Lied Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny) von Diamond Platnumz singst, auch wenn dein Publikum nur deine zwei Katzen sind.

Falls deine Suche nach dem Text des Liedes Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny) von Diamond Platnumz ist, weil es dich an jemanden Bestimmtes denken lässt, schlagen wir vor, dass du es ihm auf irgendeine Weise widmest, zum Beispiel, indem du ihm den Link zu dieser Webseite schickst, sicher wird er die Andeutung verstehen.

Etwas, das öfter passiert, als wir denken, ist, dass Leute den Text von Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny) suchen, weil es ein Wort im Lied gibt, das sie nicht ganz verstehen und sicherstellen möchten, was es sagt.

Streitest du mit deinem Partner, weil ihr verschiedene Dinge versteht, wenn ihr Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny) hört? Den Text des Liedes Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny) von Diamond Platnumz zur Hand zu haben, kann viele Streitigkeiten beilegen, und wir hoffen, dass es so sein wird.

Es ist wichtig zu beachten, dass Diamond Platnumz in Live-Konzerten nicht immer oder wird nicht immer treu zum Text des Liedes Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny) sein... Es ist also besser, sich auf das zu konzentrieren, was das Lied Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny) auf der Platte sagt.

Wir hoffen, dass wir dir mit dem Text des Liedes Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny) von Diamond Platnumz geholfen haben.

Auf dieser Seite stehen dir Hunderte von Liedtexten zur Verfügung, wie Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny) von Diamond Platnumz.